Propellerads

Ronaldo aongoza tena kwa hiki.





Cristiano Ronaldo raia wa Ureno amekuwa mchezaji anayeuzika zaidi kwa wale wanaotokea barani Ulaya.

Ronaldo amewapiku wachezaji wengine nyota kama Arjen Robben, Wayne Rooney na Gareth Bale ambao pia wameingia 10 bora.

Matokeo kupitia mitandao kadhaa ya Ulaya inayohusika na mahesabu inaonyesha Ronaldo amepata kura kwa asilimia 77.46 kuonyesha yeye ni bora zaidi.

Pointi hizo zinamfanya awe bora zaidi ya wengine katika masuala ya malipo ya mshahara, wadhamini anaopata ana hata kujulikana kwa mashabiki wanaume na wanawake kwa dunia nzima.


Ronaldo aongoza tena kwa hiki. Ronaldo aongoza tena kwa hiki. Reviewed by Steve on Thursday, June 11, 2015 Rating: 5
Propellerads
Powered by Blogger.