Propellerads

Kuelekea kufungwa dirisha la usajili leo, dili zilizokamilika kwa vilabu vikubwa England



Dirisha la usajili kwa England, Scotland na Wales linafungwa leo tarehe 31 August, hapa
nakuletea mkusanyiko wa sajili ambazo zimefanyika katika kipindi hiki chote cha uhamisho kwa vilabu vikubwa zaidi England.              

          ARSENAL
Kocha Arsene Wenger ametumia zaidi ya pauni mil 90 kwa kuwasajili Granit Xhaka, Shkodran Mustafi, Lucas Perez na Robi Holding, sio mbaya sana kwa kikosi chake. Hapa chini ni orodha ya wlioingia na kutoka Gunners

Chelsea kumrejesha tena David Luiz

In: Granit Xhaka (Borussia Monchengladbach, £30m) Takuma Asano (Sanfrecce Hiroshima, undisclosed), Rob Holding (Bolton, £2.5m),  Lucas Perez (Deportivo La Coruna, £16.9m), Shkodran Mustafi (Valencia, £35m)

Out: Mikel Arteta (released), Tomas Rosicky (released), Mathieu Flamini (released), Jon Toral (Granada, Loan), Isaac Hayden (Newcastle, undisclosed), Dan Crowley (Oxford Utd, loan), Wellington Silva (Fluminese, undisclosed), Wojciech Szczesny (Roma, loan) Joel Campbell (Sporting Lisbon, loan)

            CHELSEA
Mengi yalizungumzwa kuhusiana na kocha mpya Antonio Conte na mipango yake kukijenga upya kikosi chake huku akileta sura mpya kama vile N'Golo Kante na Mitchy Batshuayi.

In: Michy Batshuayi (Marseille, £33m), N’Golo Kante (Leicester, £30m), Eduardo (Dinamo Zagreb, undisclosed)

Out: Radamel Falcao (released), Alexandre Pato (released), Marco Amelia (released), Tika Kafusha Musonda (released), Kevin Wright (released), Lewis Baker (Vitesse Arnhem, loan), Nathan Ake (Bournemouth, loan), Jeremie Boga (Granada, loan), Tomas Kalas (Fulham, loan), Kasey Palmer (Huddersfield, loan), Stipe Perica (Udinese, £3.2m), John Swift (Reading, free), Reece Mitchell (Chesterfield, free), Mohamed Salah (Roma, £12.7m), Papy Djilobodji (Sunderland, £8m), Izzy Brown (Rotherham, loan), Michael Hector ( Eintracht Frankfurt, loan), Bertrand Traore (Ajax, loan), Tammy Abraham (Bristol City, loan), Baba Rahman (Schalke 04, loan), Marko Marin (Olympiacos, 2.5m), Mario Pasalic (AC Milan, loan), Loic Remy (Crystal Palace, loan)

            LIVERPOOL
In: Joel Matip (Schalke, free), Loris Karius (FSV Mainz 05, £4.7m), Sadio Mane (Southampton, £34m), Ragnar Klavan (Augsburg, £4.2m), Alex Manninger (Augsburg, free), Georginio Wijnaldum (Newcastle, £25m)

Out: Jerome Sinclair (Watford, £4m), Jordon Ibe (Bournemouth, £15m), Martin Skrtel (Fenerbahce, £5m), Sergi Canos (Norwich, undisclosed), Brad Smith (Bournemouth, £6m), Tom Brewitt (released), Kolo Toure (released), Daniel Cleary (released), William Marsh (released), Ryan McLaughlin (released), Alex O’Hanlon, Kristof Polgar (released), Jose Enrique (released), Samed Yesil (released), Jordan Rossiter (Rangers, £250,000), Joao Teixeira (Porto, £250,000), Danny Ward (Huddersfield, loan), Lawrence Vigouroux (Swindon, £400,000), Joe Allen (Stoke, £13.5m), Jon Flanagan (Burnley, loan), Christian Benteke (Crystal Palace, £27m)

           MANCHESTER CITY
In: Ilkay Gundogan (Borussia Dortmund, £22.5m), Nolito (Celta Vigo, undisclosed), Oleksandr Zinchenko (FC Ulfa, undisclosed), Aaron Mooy (Melbourne City, free), Leroy Sane (Schalke, £37.5m), John Stones (Everton, £47.5m), Gabriel Jesus (Palmeiras, undisclosed) Marlos Moreno (Atletico Nacional, undisclosed), Claudio Bravo (Barcelona, £14.5m)


Out: Martin Demichelis (released), Seko Fofana (Udinese, undisclosed), Charlie Albinson (released), Nathaniel Oseni (released), Sam Tattum (released), Richard Wright (released), Florian Lejeune (Eibar, £1.2m), Jack Byrne (Blackburn, loan), Luke Brattan (Melbourne City, loan), Aaron Mooy (Huddersfield, loan), Anthony Caceres (Melbourne City, loan)

Diego Costa aweka wazi mapenzi yake kwa Atletico Madrid

           MANCHESTER UNITED
In: Eric Bailly (Villarreal, £30m), Zlatan Ibrahimovic (free), Henrikh Mkhitaryan (Borussia Dortmund, £26m), Paul Pogba (Juventus, £89m)


Out: Paddy McNair, Donald Love (both Sunderland £5.5m), Tyler Reid (Swansea, undisclosed), Ashley Fletcher (West Ham, undisclosed), Joe Rothwell (Oxford, undisclosed), George Dorrington (released), Nicholas Powell (released), Victor Valdes (released), Oliver Rathbone (released), Nick Powell (Wigan, free), Oliver Rathbone (Rochdale), Guillermo Varela (Eintracht Frankfurt, loan), Cameron Borthwick-Jackson (Wolves, loan), Adnan Januzaj (Sunderland, Loan)
Kuelekea kufungwa dirisha la usajili leo, dili zilizokamilika kwa vilabu vikubwa England Kuelekea kufungwa dirisha la usajili leo, dili zilizokamilika kwa vilabu vikubwa England Reviewed by Steve on Wednesday, August 31, 2016 Rating: 5

No comments:

Propellerads
Powered by Blogger.