Mourinho ataja sababu za kumtosa Rooney mchezo wa leo Europa
Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho amefafanua kwanini amemwacha
Wayne Rooney kwenye mchezo dhidi ya Feyernood katika michuano ya Europa.
Kocha huyo amewaacha Wayne Rooney, Luke Shaw, Antonio Valencia, Henrikh Mkhitaryan na Jesse Lingard, kwenye mechi ya leo.
Amesisitiza kwamba Rooney anahitaji mapumziko na ana machaguo mengi kwenye kikosi chake.
"(Rooney) amecheza kila mechi tangu kuanza kwa msimu na amecheza dakika zote 90 England," alisema Mourinho kama alivyonukuliwa na Sky Sports.
"Ninataka awe sawa kwa michezo inayofuata
Mourinho ataja sababu za kumtosa Rooney mchezo wa leo Europa
Reviewed by Steve
on
Thursday, September 15, 2016
Rating:
Reviewed by Steve
on
Thursday, September 15, 2016
Rating:

No comments:
Post a Comment