Mishahara ya wachezaji wa Juventus 2016/17 yavuja
Klabu ya Serie A, Juventus ilifanya usajili wa majina makubwa katika
msimu wa usajili ulioisha hivi karibuni. Shukrani kwa taarifa hizi kuvuja kwani sasa tunajua wachezaji kama Dani Alves, Patrice Evra na nyota wa Arjentina, Gonzalo Higuain wanalipwa vipi.
Kwa mujibu wa tovuti iitwayo totalSPORTEK, Juventus wanatumia Euro milioni 64.5 kwa mwaka kulipa mishahara .
Hapa chini ni mishahara iliyovuja ya wachezaji wote wa Juventus kwa mujibu wa totalSPORTEK:
1) Gonzalo Higuain – €7.7 million
2) Miralem Pjanic – €5.5 Million
3) Gianluigi Buffon – €4 million
4) Sami Khedira – €4 million
5) Dani Alves – €4 million
6) Giorgio Chiellini – €3.5 million
7) Leonardo Bonucci – €3.5 million
8) Mario Mandzukic – €3.5 million
9) Claudio Marchisio – €3.5 million
10) Hernanes – €3 million
11) Paulo Dybala – €3 million
12) Alex Sandro – €2.8 million
13) Andrea Barzagli – €2.8 million
14) Stephan Lichtsteiner – €2.8 million
15) Patrice Evra – €2.5 million
16) Neto – €2 million
17) Medhi Benatia – €2 million (Asilimia 50% analipwa klabu ya Bayern Munich)
18) Simone Zaza – €1.8 million (R29 million) Ametolewa kwa mkopo.
19) Kwadwo Asamoah – €1.6 million
20) Stefano Sturaro – €1.5 million
21) Roberto Pereyra – €1.5 million
22) Mario Lemina – €1.2 million
23) Marko Pjaca – €1.2 million
24) Luca Marrone – €800 000
*Mishahara ni kwa mwaka
Mishahara ya wachezaji wa Juventus 2016/17 yavuja
Reviewed by Steve
on
Tuesday, September 13, 2016
Rating:
Reviewed by Steve
on
Tuesday, September 13, 2016
Rating:

No comments:
Post a Comment