Propellerads

Mishahara mipya ya wachezaji Arsenal 2016/17 imevuja, Ozil na Sanchez wanalipwa vipi!!, ipo hapa



Klabu ya Uingereza, Arsenal inafahamika sana kwa kubana matumizi
ya pesa, lakini hivi karibuni mishahara mipya imevuja ambapo Mesut Ozil na Alex Sanchez wakiwa ni miongoni mwa wachezaji wanaolipwa zaidi Emirates.

Hapa ni mishahara mipya iliyovuja kwa mujibu wa mtandao uitwao totalSPORTEK, Arsenal wanatumia kiasi cha pauni mil 1.9 kwa mwaka kulipa mishahara pekee.
1) Mesut Özil – £140 000 (R2.6 million)  

2) Alexis Sánchez – £140 000      

3) Theo Walcott – £110,000      

4) Aaron Ramsey – £110 000

5) Olivier Giroud – £100 000

6) Petr Cech – £100 000

7) Granit Xhaka – £90 000

8) Jack Wilshere – £90 000 Ametolewa kwa mkopo.

9) Santi Cazorla – £90 000

10) Shkodran Mustafi – £90 000
11) Laurent Koscielny – £75 000

12) Per Mertesacker – £70 000

13) Mathieu Debuchy – £70 000

14) Lucas Perez – £70 000

15) Danny Welbeck – £70 000

16) Alex Oxlade-Chamberlain – £65 000

17) Nacho Monreal – £65 000

18) Kieran Gibbs – £60 000

19) Héctor Bellerín – £50 000

20) Gabriel Paulista – £50 000

21) Carl Jenkinson – £45 000

22) Francis Coquelin – £45 000

23) Mohamed Elneny – £40 000

24) David Ospina – £40 000

25) Alex Iwobi – £30 000

26) Calum Chambers – £20 000 Ametolewa kwa mkopo.

27) Rob Holding – £10 000


Mishahara mipya ya wachezaji Arsenal 2016/17 imevuja, Ozil na Sanchez wanalipwa vipi!!, ipo hapa Mishahara mipya ya wachezaji Arsenal 2016/17 imevuja, Ozil na Sanchez wanalipwa vipi!!, ipo hapa Reviewed by Steve on Friday, September 09, 2016 Rating: 5

No comments:

Propellerads
Powered by Blogger.