Chelsea kumuuza Fabregas?
Imeripotiwa kwamba Chelsea wana mpango wa
kumuuza Cesc Fabregas katika dirisha dogo la usajili.
AC Milan walitaka kumsajili nyota huyo katika siku ya mwisho usajili uliopita lakini Chelsea waliwatolea nje.
Hata hivyo, kwa mujibu wa The Express, Conte anajiandaa kumuuza Mhispania huyo mwezi januari ambapo Fabregas atatakiwa kutafuta klabu nyingine kati kati ya msimu huu wa 2016/17.
Chelsea kumuuza Fabregas?
Reviewed by Steve
on
Monday, September 12, 2016
Rating:
Reviewed by Steve
on
Monday, September 12, 2016
Rating:

No comments:
Post a Comment