Propellerads

Kiiza abeba uchezaji bora Simba

                         

Mshambuliaji wa Simba, Hamisi Kiiza amebeba tuzo ya mchezaji
bora wa mwezi wa Simba.

Tuzo hiyo imekabidhiwa leo kwenye Viwanja vya Chuo Kikuu Dar es Salaam wakati Simba ikifanya mazoezi.

Kiiza alikabidhiwa tuzo hiyo na Kocha Mkuu, Dylan Kerr ambayo ni ngao pamoja na Sh 500,000.

Simba imeanzisha utaratibu wa kutoa tuzo kila mwezi kwa wachezaji wake ikiwa ni sehemu ya kuwahamasisha.

Kiiza abeba uchezaji bora Simba Kiiza abeba uchezaji bora Simba Reviewed by Steve on Monday, October 05, 2015 Rating: 5

No comments:

Propellerads
Powered by Blogger.