Ona Hans Poppe akiwaponda Yanga, asema hawezi kunywa supu ya mawe
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe
amesema asingeweza kuinywa supu ya mawe waliyowaandalia Yanga, badala yake wameshituka.
Hans Poppe amesema wasingeweza kuinywa supu hiyo kwa kuwa ilikuwa ya Yanga. Hivyo Yanga hawapaswi kuiga ila waseme waliiangalia Simba kitu gani.
“Waache kuiga, sisi tulisema tokea mapema kwamba tuliwaangalia supu ya mawe. Sasa nao waseme walituandalia nini.
“Mimi naona wana haki ya kuitema, maana wameinywa kwa miaka minne mfululizo. Sasa wana haki ya kuitema,” alisema.
Yanga imeichapa Simba kwa mabao 2-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, jana.
Ona Hans Poppe akiwaponda Yanga, asema hawezi kunywa supu ya mawe
Reviewed by Steve
on
Sunday, September 27, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Sunday, September 27, 2015
Rating:

No comments:
Post a Comment