Propellerads

Waholanzi Nooj na Pluijm walipokutana karume.






Makocha wawili Waholanzi, Hans van der Pluijm wa Yanga na Mart Nooij wa Taifa Stars jana walikutana na
kubadilishana mawazo hadharani.

Wawili hao walikutana wakati timu zao zikifanya mazoezi kujiandaa na michuano ya kimataifa.


Kikosi cha Taifa Stars, kimeendelea kujifua kwa ajili ya mechi zake za kuwania kucheza Chan.



Wakati Yanga inajiandaa na michuano ya Kagame pamoja na msimu mpya wa 2015-16.

Yanga ndiyo walianza, Stars wakawasili na Waholanzi hao wakapata nafasi angalau ya kubadilishana mawazo.

Waholanzi Nooj na Pluijm walipokutana karume. Waholanzi Nooj na Pluijm walipokutana karume. Reviewed by Steve on Thursday, June 18, 2015 Rating: 5
Propellerads
Powered by Blogger.