Propellerads

Yaya Toure asimamishwa na polisi...kisa!!

Kiungo wa klabu ya Manchester City  Yaya Toure ’32’ ameripotiwa kusimamishwa na askari wa barabarani kwa kosa la
kuzidisha mwendo na kuwajibu kuwa klabu yake itashughulikia tatizo hilo.

Staa huyu wa Premier League alisimamishwa akiwa anaendesha gari yake ya kifahari aina ya Porshe 911 yenye thamani ya Paundi 120,000. Toure anatengeneza kiasi cha pesa Paundi 210,000 kwa wiki na amekuwa akifukuziwa na Inter Milan.
Hii ndio gari anayopenda kutumia zaidi akiwa kwenye mishe za kila siku.




                                  




                                         



                                       
      
                                         





 
Yaya Toure asimamishwa na polisi...kisa!! Yaya Toure asimamishwa na polisi...kisa!! Reviewed by Steve on Sunday, May 24, 2015 Rating: 5
Propellerads
Powered by Blogger.