Mourinho hawapi tena mashabiki
The special one kila asemacho huwa ni habari kubwa, baada ya kuzungumza kuhusu ishu ya Barcelona na Real Madrid wangekua kwenye ligi ya uingereza maisha yao yangekua
magumu. Hivi sasa amekuja na jipya, kama unakumbuka mwaka mwaka 2006 baada ya kuchukua taji la EPL alirusha medali yake kwa mashabiki.
Lakini alipoulizwa kwamba atarusha tena medali yake kwa mara nyingine
hili ndilo lilikua jibu lake,”Mwanangu wa kiume hivi sasa anakusanya
kila kitu changu. Anachokifanya ni kuhifadhi kila kitu, wakati ule mwaka
2006 alikua mdogo sana lakini hivi sasa anakusanya kila kitu kuanzia
jezi, medali na kila kitu. Kuna wakati anaiba vitu vyangu na kuviweka
kwenye collection yake”.
Mourinho hawapi tena mashabiki
Reviewed by Steve
on
Saturday, May 23, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Saturday, May 23, 2015
Rating:
