Boateng na Lewandosk ilikua kidogo wazichape mazoezini......kisa kipo hapa
Kama si juhudi za wachezaji wa Bayern Munich
basi mshambuliaji Robert Lewandowski na beki Jerome Boateng wangeishia pabaya.
Wawili hao walitaka kuzichapa katika mazoezi ya
timu hiyo juzi baada ya Lewandowski kumuangusha Boateng wakati wakigombea
mpira.
Boateng na Lewandosk ilikua kidogo wazichape mazoezini......kisa kipo hapa
Reviewed by Steve
on
Friday, May 22, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Friday, May 22, 2015
Rating:



