Mourinho na Hazard ndio bora EPL
Mkufunzi wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho ametangazwa kuwa mkufunzi bora katika ligi ya Uingereza kwa mara ya
tatu.
Akihudumia
kipindi chake cha pili katika kilabu hiyo rais huyo wa Ureno mwenye
umri wa miaka 52 aliiongoza Chelsea kubeba taji lao la kwanza la ligi ya
Uingereza katika kipindi cha miaka mitano pamoja na kombe la Ligi.
Kiungo wa kati wa Chelsea Eden Hazard ambaye aliifungia Chelsea mabao 20
alitangazwa kuwa mchezaji bora wa ligi ya Uingereza msimu huu.
Mourinho na Hazard ndio bora EPL
Reviewed by Steve
on
Friday, May 22, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Friday, May 22, 2015
Rating:

