Pogba na Ibrahimovic wanalipwaje!!, hii hapa mishahara mipya kwa wachezaji Man United 2016/17
Vijana wapya waliosajiliwa Manchester United, Paul Pogba na Henrikh Mkhitaryan uhamisho
wao uliigharimu klabu hiyo pesa ndefu kidogo, lakini hivi karibuni imevuja jinsi Old Trafford inawalipa nyota wake.
Kwa mujibu wa mtandao uitwao totalSPORTEK, wakali hao wa Uinngereza wanatumia kiasi cha pauni mil 203 kwa mwaka kulipa mishahara pekee.
Hapa chini ni mishahara mipya ya sasa kwa wachezaji Man United kama ilivyovujishwa na totalSPORTEK:
1) Paul Pogba – £290 000
2) Wayne Rooney – £250 000
3) Zlatan Ibrahimovic – £220 000
4) David de Gea – £200 000
5) Bastian Schweinsteiger – £200 000
6) Henrikh Mkhitaryan – £140 000
7) Juan Mata – £140 000
8) Ashley Young – £110 000
9) Morgan Schneiderlin – £100 000
10) Memphis Depay – £90 000
11) Chris Smalling – £80 000
12) Michael Carrick – £80 000
13) Marouane Fellaini – £80 000
14) Eric Bailly – £75 000
15) Daley Blind – £75 000
16) Ander Herrera – £75 000
17) Marcos Rojo – £70 000
18) Luke Shaw – £70 000
19) Antonio Valencia – £70 000
20) Anthony Martial – £65 000
21) Matteo Darmian – £60 000
22) Sergio Romero – £50 000
23) Phil Jones – £50 000
24) Jesse Lingard – £25 000
25) Marcus Rashford – £20 000
26) Sam Johnstone – £10 000
27) Timothy Fosu-Mensah – £5 000
Pogba na Ibrahimovic wanalipwaje!!, hii hapa mishahara mipya kwa wachezaji Man United 2016/17
Reviewed by Steve
on
Friday, September 02, 2016
Rating:
Reviewed by Steve
on
Friday, September 02, 2016
Rating:




No comments:
Post a Comment