Cheki mapicha TP Mazembe kabla hawajawaua waAlgeria
TP Mazembe imejiwekea mazingira mazuri ya kutwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara nyingine.
Hii ni baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya USM Alger wakiwa ugenini na shujaa ni Mbwana Samatta ambaye alifunga bao la pili.
Kabla ya ushindi wa jana, Mazembe iliweka kambi Marrakech, Morocco na hivi ndivyo yalivyokuwa mazoezi yao.
Hii ni baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya USM Alger wakiwa ugenini na shujaa ni Mbwana Samatta ambaye alifunga bao la pili.
Kabla ya ushindi wa jana, Mazembe iliweka kambi Marrakech, Morocco na hivi ndivyo yalivyokuwa mazoezi yao.
Cheki mapicha TP Mazembe kabla hawajawaua waAlgeria
Reviewed by Steve
on
Sunday, November 01, 2015
Rating:

No comments:
Post a Comment