Propellerads

Diego Costa kukumbana na adhabu tena, huenda akafungiwa mechi hizi


                     
                       

Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa anaweza kupewa adhabu ya
kufungiwa mechi nne na chama cha soka cha England kutokana na kumchezea vibaya mchezaji wa Liverpool, Martin Skrtel.

                     

Tukio hilo, ambapo Mhispania huyo alionekana akimpiga kiatu kifuani Skrtel, lilitokea kwenye mechi iliyopita Jumamosi ambapo Blues walipoteza kwa 3-1 wakiwa nyumbani dhidi ya Liverpool.

Hakuna hatua zozote zilizochukuliwa na mwamuzi Mark Clattenburg wakati huo, lakini hatua zaidi zinaweza kuchukuliwa kwa sasa ambazo zitakua kali zaidi ya kadi nyekundu.


Diego Costa kukumbana na adhabu tena, huenda akafungiwa mechi hizi Diego Costa kukumbana na adhabu tena, huenda akafungiwa mechi hizi Reviewed by Steve on Monday, November 02, 2015 Rating: 5

No comments:

Propellerads
Powered by Blogger.