Propellerads

Manchester United vs Manchester City kama ilivyokua



                                       
Timu ya Manchester United imelazimishwa sare ya bila kufungana na
Manchester City kwenye mchezo wa ‘Manchester Derby’ ikiwa ni pambano la ligi kuu ya nchini England (EPL) pambano likichezwa kwenye uwanja wa Old Trafford.

Matokeo ya mchezo huo yanaipa nafasi timu ya Manchester City kurejea kileleni mwa ligi kwa kuitoa Arsenal kwenye nafasi hiyo ambao walikaa jana baada ya kushinda mchezo wao dhidi ya Everton wakafanikiwa kukaa kileleni kwa muda kusubiri mechi za leo.

                                      

MANCHESTER UNITED (4-2-3-1): De Gea 6; Valencia 6.5 (Darmian 5.5), Jones, Smalling, Rojo, Schweinsteiger (Fellaini), Schneiderlin, Mata (Lingard ), Herrera, Martial, Rooney.

Wachezaji wa akiba ambao hawakucheza: Romero, Blind, Carrick, Memphis.

Waliooneshwa kadi ya njano: Schneiderlin, Mata

Kocha: Louis van Gaal.

MANCHESTER CITY (4-2-3-1): Hart, Sagna, Kompany, Otamendi, Kolarov Fernando, Fernandinho, De Bruyne, Toure (Demichelis), Sterling (Navas) Bony, (Iheanacho).

Wachezaji wa akiba ambao hawakucheza: Caballero, Mangala, Zabaleta, Roberts.

Waliooneshwa kadi za njano: Kompany, Fernandinho

Kocha: Manuel Pellegrini.
Manchester United vs Manchester City kama ilivyokua Manchester United vs Manchester City kama ilivyokua Reviewed by Steve on Monday, October 26, 2015 Rating: 5

No comments:

Propellerads
Powered by Blogger.