Simba day imekupita !!, hapa kuna picha kadhaa
Timu ya Simba SC leo imeshinda kwa goli 1-0 mchezo wake wa kirafiki dhidi ya timu ya SC Villa ya
Uganda mchezo ulikuwa maalumu kwa ajili ya kusherekea siku ya Simba Day ambayo huadhimishwa Agosti 8 kila mwaka.
Goli la Simba limefungwa na Awadh Juma dakika za lala salama baada ya kutokea piga nikupige langoni mwa Villa ‘Jogoo’ hatimaye mpira kumkuta Awadh aliyeachia huti kali na kuipa timun yake.
Hapa nimeweka baadhi ya picha kama tukio hili lilikupita
Simba day imekupita !!, hapa kuna picha kadhaa
Reviewed by Steve
on
Saturday, August 08, 2015
Rating:

No comments:
Post a Comment