Fernando Llorente kutua Arsenal?!
Mshambuliaji wa Juventus, Fernando Llorente ameripotiwa kua katika mpango wa kutua
klabu ya washika bunduki ya Arsenal.
Nyota huyo mwenye miaka 30 miezi ya hivi karibuni amekua akihusishwa sana kutaka kuihama klabu hiyo ya Turin baada ya kudaiwa kutoelewana na kocha Massimiliano Allegri.
Kwa mujibu wa L'Equipe, mhispania huyo atakamilisha uhamisho wake kwa the Gunners wiki ijayo kwa ada ya £8.56m.
Llorente ameifungia Juventus magoli tisa msimu umiopita.
Fernando Llorente kutua Arsenal?!
Reviewed by Steve
on
Tuesday, July 28, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Tuesday, July 28, 2015
Rating:

No comments:
Post a Comment