Propellerads

Falcao anatarajiwa kutua katika timu hii EPL.....ingia hapa



Kama ilivyoripotiwa hapo mwanzoni kwamba mama yake Falcao alisema kwamba mwanae hana furaha ndani ya
Manchester united. Kwa hiyo lazima alikua anatarajiwa kuondoka Old Trafford baada ya msimu kuisha.

Habari ikufikie kwamba ndani ya siku chache zijazo Falcao anatarajiwa kutangaza kwamba atajiunga na Chelsea F.C. ambapo anaenda kujaribu kucheza tena ligi ya uingereza akiwa na timu nyingine.
Falcao anatarajiwa kutua katika timu hii EPL.....ingia hapa Falcao anatarajiwa kutua katika timu hii EPL.....ingia hapa Reviewed by Steve on Thursday, June 04, 2015 Rating: 5
Propellerads
Powered by Blogger.