Propellerads

Platin kuwabeba Chelsea, Man City na PSG

Shirikisho la soka barani Ulaya linajiandaa kuondoa sheria ya mwaka 2011 itakayozuia vilabu kufanya matumizi ya ziada.

                                            
Platin

Katika mahojiano na redio ya Ufaransa RTL,rais wa UEFA Michel Platini amesema kuwa sheria hiyo ilikuwa ikifanya kazi vizuri lakini itapigwa msasa mishoni mwa msimu huu.
Hatua hiyo inafuatia ripoti katika gazeti la Le Parisien siku ya jumapili iliosema kuwa kuna mabadiliko muhimu yatakayofanyiwa sheria hiyo.
Manchester City pamoja na kilabu ya PSG zilipigwa faini mwaka uliopita kwa kukiuka sheria hiyo.
Baadaye mwandani wa rais wa vilabu vya Ulaya ambaye pia ni katibu mpanga ratiba Gianni Infantino aliithibitishia BBC kwamba mazungumzo kuhusu FFP na vilabu vikuu vya Ulaya yanaendelea huku marekebisho hayo yakijadiliwa.
Platin kuwabeba Chelsea, Man City na PSG Platin kuwabeba Chelsea, Man City na PSG Reviewed by Steve on Wednesday, May 20, 2015 Rating: 5
Propellerads
Powered by Blogger.