Pogba afunguka nyota 7 waliompa hamasa
Nyota huyo aliichezea Man United kwa mara ya kwanza waliposhinda kwa 2-0 dhidi ya Southampton Ijumaa usiku.
Pogba ambaye alicheza dakika zote 90, alionekana anajiamini kabisa dhidi ya wapinzani wao, hivi karibuni aliongea na Thiery Henry kwa urefu zaidi ambapo alimtaja Yaya Toure kama miongoni mwa nyota waliomvutia.
"Wachezaji wengi kama Ronaldinho, Mbrazil Ronaldo, Kaka, (Zinedine) Zidane, Iniesta, Yaya Toure, Vieira," Alisema kama Sky Sports walivyomnukuu.
"Nimejaribu kuchukua vitu vingi kwao na kimtengeneza Pogba."
Pogba afunguka nyota 7 waliompa hamasa
Reviewed by Steve
on
Tuesday, August 23, 2016
Rating:
Reviewed by Steve
on
Tuesday, August 23, 2016
Rating:




No comments:
Post a Comment