Mourinho kuchuana na Chelsea kwa nyota Mbrazil
Imeripotiwa Chelsea wameingia katika kinyang'anyiro na Man United
kwa ajili ya nyota mbrazil ikiwa ni dakika za mwisho kuelekea kufungwa dirisha la usajili.
Beki wa kushoto wa Monaco, Fabinho amekuwa akiwindwa na Mourinho kwa miezi kadhaa sasa, lakini kwa mujibu wa L'Equipe, Chelsea pia wanamtaka mchezaji huyo.
Inadaiwa Blues wapo tayari kutoa kiasi cha pauni mil 25 kwa mchezaji huyo.
Mourinho kuchuana na Chelsea kwa nyota Mbrazil
Reviewed by Steve
on
Monday, August 29, 2016
Rating:
Reviewed by Steve
on
Monday, August 29, 2016
Rating:




No comments:
Post a Comment