Majabvi na hatma ya mkataba wake Msimbazi, huu ndio msimamo wake

Kiungo Mzimbabwe wa Simba, Justice Majabvi, ametamka kuwa
hajui hatima yake ndani ya timu hiyo licha ya kwamba mkataba wake umebakiza miezi miwili tu.
Majabvi ambaye amekuwa akicheza kwenye kikosi cha kwanza, amesema alisaini mkataba wa miezi sita ambao unafikia tamati Desemba, mwaka huu.
Majabvi amesema: “Mkataba wangu unaelekea mwisho, nimebakiza miezi miwili lakini sijui kinachoendelea kwa kuwa viongozi wapo kimya, hawajaniambia kama nitaendelea kuwepo hapa au nitaondoka.”
Majabvi na hatma ya mkataba wake Msimbazi, huu ndio msimamo wake
Reviewed by Steve
on
Friday, October 30, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Friday, October 30, 2015
Rating:



No comments:
Post a Comment