Magazeti ya Uingereza leo yameamka na hizi kali
DAILY EXPRESS: Nyota wa Liverpool ameifungia klabu katika 'ushindi wenye utata' dhihi ya Bournemouth.
PIA: Everton wawafanya Chelsea kufanya usajili kwa dau litakalovunja rekodi kwa beki John Stones.
DAILY STAR: Louis van Gaal amedai anacheza mechi ambayo ni miongoni mwa mechi kubwa katika kipindi chake Man United, dhidi ya FC Brugge.
DAILY MIRROR: Manchester City sasa wanakamilisha dili la Nicolas Otamendi.
Pia: De Bruyne anaangalia mipango ya kuendelea kuwepo Wolfsburg.
DAILY MAIL: John Terry 'hakua orijino' katika mipango ya Jose Mourinho kumuanzisha acheze dhidi ya Manchester City.
Magazeti ya Uingereza leo yameamka na hizi kali
Reviewed by Steve
on
Tuesday, August 18, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Tuesday, August 18, 2015
Rating:




No comments:
Post a Comment