Propellerads

Kama hukucheki vizuri mechi ya Simba jana, tazama pichazz hapa




Kikosi cha ‘Wekundu wa Msimbazi’ Simba kimefanikiwa kuibuka na
ushindi wa goli 2-1 mbele ya timu ya URA FC ya Uganda kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliopigwa kwenye uwanja wa Taifa jana jioni  ikiwa ni mchezo wa kujipima nguvu na kujiandaa kwa ajili ya michuano ya ligi kuu Tanzania bara inayotaraji kuanza mapema mwezi ujao. Cheki picha namna ilivyokuwa

















Kama hukucheki vizuri mechi ya Simba jana, tazama pichazz hapa Kama hukucheki vizuri mechi ya Simba jana, tazama pichazz hapa Reviewed by Steve on Sunday, August 16, 2015 Rating: 5

No comments:

Propellerads
Powered by Blogger.