Kina Pluijm na Mkwasa walivyovamia game ya Azam jana
Wakati timu ya Azam FC ikimenyana na Tanzania Prisons kwenye
dimba la Azam Complex, kocha mkuu wa Yanga SC Hans van der Pluijm pamoja na kocha msaidizi wa Yanga huku akiwa ni kocha mkuu wa Stars Boniface Mkwasa walikuwa ni miongoni mwa watu maarufu waliohudhuria uwanjani kufatilia mchezo huo.
Baada ya mchezo kumalizika, Van Pluijm alionekana akiteta jambo na kocha wa mkuu wa Azam FC Stewart Hall na baadae kuondoka kwenye uwanja huo.
Ungana nasi kupitia Facebook kwa ku like ukurasa wetu wa Kandanda 24 na tuffollow Twitter @Kandanda 24
Kina Pluijm na Mkwasa walivyovamia game ya Azam jana
Reviewed by Steve
on
Sunday, September 13, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Sunday, September 13, 2015
Rating:


No comments:
Post a Comment