Propellerads

Pep Guardiola amzungumzia Schwensteiger, kasema nini!!...zaidi ingia hapa




Aliyekua kocha wa Bastian Schwensteiger katika klabu ya Bayern Munich, Pep Guardiola amefunguka kua nyota huyo hakua 'fit' katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.

Nyota huyo wa kimataifa kutoka Ujerumani alisajiliwa na Man United msimu uliopita, lakini katika ziara ya timu Marekani alishindwa kufika mpaka mwisho baada ya kupata majeraha

Guardiola aliiambia The Times "Kama hana na tatizo la majeraha, nashawishika kusema atafanya vizuri zaidi Manchester United"

"Ni mchezaji wa hali ya juu, bahati mbaya katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita hakua katika hali nzuri. Ataenda kucheza vizuri Manchester United, nina uhakika katika hilo"

Nyota huyo mwenye miaka 31 alicheza mechi 15 pekee kwa mabingwa hao wa Bundesliga msimu uliopita.
Pep Guardiola amzungumzia Schwensteiger, kasema nini!!...zaidi ingia hapa Pep Guardiola amzungumzia Schwensteiger, kasema nini!!...zaidi ingia hapa Reviewed by Steve on Tuesday, August 04, 2015 Rating: 5

No comments:

Propellerads
Powered by Blogger.