Eti Hazard ana thamani kuliko Ronaldo!!!......cheki hapa
Kwa mujibu wa data zilizochapishwa na taasisi ya CIES Football Observatory, mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi kwa sasa ndiye mchezaji mwenye thamani kubwa zaidi kwenye soko la uhamisho, akifuatiwa na nyota wa Chelsea, Eden Hazard, halafu straika wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo anashika nafasi ya tatu.
Ili kupiga hesabu ya thamani ya uhamisho wa mchezaji yeyote, wametumia sababu mbalimbali za kisoka.
Sababu hizo ni pamoja na Umri wa mchezaji, mkataba wake wa sasa, nafasi anayocheza uwanjani, jumlisha matokea na mafanikio ya klabu yake.
Eti Hazard ana thamani kuliko Ronaldo!!!......cheki hapa
Reviewed by Steve
on
Tuesday, June 09, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Tuesday, June 09, 2015
Rating:


