Propellerads

Jinsi Italy walivyolala mbele ya Ufaransa pamoja na matokeo mengine mechi za kimataifa



Wenyeji Italy jana wameshuhudia wakipoteza mchezo wao kwa
mabao 1-3 mbele ya wageni Ufaransa katika mechi ya kimataifa ya kirafiki iliyopigwa uwanja wa San Nicola Stadium.

Wageni waliongoza mara baada ya robo saa tu mchezo kuanza baada ya mkali wa Man United, Antonny Martial kutupia, hata hivyo dakika nne baadae Graziano Pelle aliwasawazishia wenyeji mpaka dakika ya 28, Olivier Giroud akaiongezea Ufaransa bao la pili.
Goli la mwisho la Ufaransa liliwekwa kambani na Layvin Kurzawa .

Hapa chini ni matokeo ya mechi nyingine za kimataifa za kirafiki zilizopigwa jana.

Belgium         0-2 Spain
Netherlands  1-2     Greece
Portugal      5-0 Gibraltar
Italy              1-3 France
Netherlands  1-2     Greece
Portugal        5-0     Gibraltar


Jinsi Italy walivyolala mbele ya Ufaransa pamoja na matokeo mengine mechi za kimataifa Jinsi Italy walivyolala mbele ya Ufaransa pamoja na matokeo mengine mechi za kimataifa Reviewed by Steve on Friday, September 02, 2016 Rating: 5

No comments:

Propellerads
Powered by Blogger.