Propellerads

Wenger kumwachia Wilshere kwa mkopo



Imedaiwa kwamba bosi wa Arsenal, Arsene Wenger amemwambia
Jack Wilshere kwamba anaweza kuondoka kwa mkopo kabla ya kufungwa dirisha la usajili ili akatafute timu ambayo atayokua ana nafasi ya uhakika.

Mchezaji huyo wa England amekua akiandamwa na majeraha klabuni hapo kwa muda mrefu, hali inayomzuia kuonekana sana uwanjani.

Kwa mujibu wa Sky Sports News, Wenger yupo tayari Wilshere ajiunge na klabu nyingine katika mkopo wa muda mfupi ikiwezekana mpaka mwisho wa msimu huu.


Wenger kumwachia Wilshere kwa mkopo Wenger kumwachia Wilshere kwa mkopo Reviewed by Steve on Tuesday, August 30, 2016 Rating: 5

No comments:

Propellerads
Powered by Blogger.