Ratiba ya michezo yote VPL wikiendi hii
Mzunguko wa raundi ya sita ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania (VPL)
unatarajiwa
kuendelea leo Jumamosi na Jumapili kwa timu 10 kucheza kusaka alama 3 muhimu.
kuendelea leo Jumamosi na Jumapili kwa timu 10 kucheza kusaka alama 3 muhimu.
Jijini Tanga Mgambo Shooting watakua wenyeji wa Coastal Union
katika uwanja wa Mkwakwani, Majimaji FC watawakaribisha Mwadui FC uwanja wa
Majimaji mjini Songea.
Jumapili
Stand United chama la wana watawakaribisha watoza ushuru wa jiji la Mbeya
(Mbeya City) katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga, huku Kagera Sugar
wakiwa wenyeji wa Tanzania Prisons uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora na
Toto Africa watakua wenyeji wa JKT Ruvu jijini Mwanza uwanja wa CCM Kirumba.
Ratiba ya michezo yote VPL wikiendi hii
Reviewed by Steve
on
Saturday, October 03, 2015
Rating:



No comments:
Post a Comment