Ripoti: Dili la Cavani na Arsenal bado halijafa
Arsenal wameripotiwa kua katika matumaini ya
kumpata Edinson Cavani ikizingatiwa leo ndi mwisho wa dirisha la usajili.
Tetesi zilizopo sasa ni kua kocha Arsene Wenger assubuhi ya leo aliruka na ndege kuelekea Paris ili kufanya dili hilo la Cavani pamoja na mchezaji mwingine kiungo wa PSG Adrien Rabiot.
Inadaiwa mazungumzo kuhusu dili yalivunjika ambapo Arsenal walishindwa kufikia dau linalotakiwa la £50m.
Hata hivyo kwa mujibu wa Daily Mail kocha Wenger bado hajakata tamaa na anatarajia kufanya mambo ili kukamilisha dili hilo ndani ya masaa matatu kabla ya kufungwa kwa dirisha.
Mlinda mlango Petr Cech ndie pekee amesajiliwa msimu huu na Arenal huku Olivier Giroud akiwa mshambuliaji tegemeo wa klabu.
Ripoti: Dili la Cavani na Arsenal bado halijafa
Reviewed by Steve
on
Tuesday, September 01, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Tuesday, September 01, 2015
Rating:




No comments:
Post a Comment