Mambo yawa mambo kwa Kiiza, amesaini miwili.
Kiiza amesaini mkataba huo baada ya kufuzu zoezi la vipimo jijini Dar es Salaam.
Kiiza ambaye ni mshambuliaji wa zamani wa Yanga aliwasili jana akitokea nchini Uganda kwa ajili ya vipimo na kumalizia mazungumzo na uongozi wa Simba.
Akiwa nchini, Kiiza alisema amekuja kufanya kazi na Simba.
Mambo yawa mambo kwa Kiiza, amesaini miwili.
Reviewed by Steve
on
Friday, July 03, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Friday, July 03, 2015
Rating:



