Falcao sasa rasmi Chelsea.
Mshambuliaji Radamel Falcao ametua Chelsea kwa mkopo wa muda mrefu.
Baada ya kufeli Manchester United iliyokuwa ikimtumia kwa mkopo kutoka Monaco FC, Falcao sasa amejiunga na Chelsea na inaonyesha itakuwa furaha kuu kwa Kocha Jose Mourinho aliyekuwa akimuwinda kwa udi na uvumba.
Mwishoni mwa msimu ujao, Chelsea itakuwa na nafasi kama itakuwa imeridhishwa na kiwango chake, basi itakuwa na nafasi ya kumsajili mshambuliaji huyo.
Mwishoni mwa msimu ujao, Chelsea itakuwa na nafasi kama itakuwa imeridhishwa na kiwango chake, basi itakuwa na nafasi ya kumsajili mshambuliaji huyo.
Falcao sasa rasmi Chelsea.
Reviewed by Steve
on
Friday, July 03, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Friday, July 03, 2015
Rating:



