Mambo matano usiyoyafahamu kuhusu mchezaji mpya wa man u, Memphis Depay
Mholanzi huyu ametawala Headlines za vyombo mbali mbali baada ya kusaini mkataba wenye thamani ya pauni mil 30 na mashetani wekundu, pia katika kufananishwa kwake na Christiano Ronaldo.
Msomaji yawezekana kabisa una shauku ya kutaka kumfahamu kwa undani zaidi mholanzi huyu, leo nakuletea mambo matano ambayo unaweza
ukawa huyafahamu kuhusu Depay
1)Ni mchezaji mdogo kabisa kuwahi kuifungia Uholanzi kombe la dunia.
Akiwa na miaka 20 tu alifanikiwa kua mchezaji mwenye umri mdogo kabisa kuwahi kuifungia uholanzi kwenye michuano ya kombe la dunia, hii ilikua mechi dhidi ya Australia katika hatua za makundi.
2)Ana damu ya ki-afrika
Memphis Depay alizaliwa 1994 huko kusini mwa uholanzi mji wa Moordrecht, baba mghana huku mama akiwa ni mholanzi.
3)Kwenye jezi ameandika jina la 'Memphis' pekee
Alipokua na umri wa miaka minne tu wazazi wake waliachana hivyo alilelewa na mama yake na wazee upande wa mama. Amekua na machungu ya kutelekezwa na baba labda ndo sababu hapendi kutumia jina la Depay ambalo ndio jina la baba yake mzazi, pia baba yake hana mawasiliano na familia.
4)Ni mpenzi mkubwa wa tattoos
Depay ana tatoo nyingi mwilini mwake na mojawapo kajichora kama kumbukumbu kwa baba yake ambaye alifariki siku Depay anatimiza miaka 15. Baba yake alikua ni kama baba pia kwake na alihudhuria michezo yote Depay aliyocheza mpaka umauti ulipomfika.
5)Anafananishwa na Cristiano Ronaldo
Mchezaji wa zamani wa Man u ,Scout amemfananisha ujio wake kama Ronaldo mwingine tena Man u
"Ana ujuzi kama ulu ule wa Ronaldo alipokua kinda. Ana mbinu hatari, mjuzi, yuko chap, ana rekodi nzuri ya ufungaji, anaweza kupiga shuti umbali wowote-ana kila kitu" alisema scout
Msomaji yawezekana kabisa una shauku ya kutaka kumfahamu kwa undani zaidi mholanzi huyu, leo nakuletea mambo matano ambayo unaweza
ukawa huyafahamu kuhusu Depay
![]() |
| Depay |
1)Ni mchezaji mdogo kabisa kuwahi kuifungia Uholanzi kombe la dunia.
Akiwa na miaka 20 tu alifanikiwa kua mchezaji mwenye umri mdogo kabisa kuwahi kuifungia uholanzi kwenye michuano ya kombe la dunia, hii ilikua mechi dhidi ya Australia katika hatua za makundi.
2)Ana damu ya ki-afrika
Memphis Depay alizaliwa 1994 huko kusini mwa uholanzi mji wa Moordrecht, baba mghana huku mama akiwa ni mholanzi.
3)Kwenye jezi ameandika jina la 'Memphis' pekee
Alipokua na umri wa miaka minne tu wazazi wake waliachana hivyo alilelewa na mama yake na wazee upande wa mama. Amekua na machungu ya kutelekezwa na baba labda ndo sababu hapendi kutumia jina la Depay ambalo ndio jina la baba yake mzazi, pia baba yake hana mawasiliano na familia.
4)Ni mpenzi mkubwa wa tattoos
Depay ana tatoo nyingi mwilini mwake na mojawapo kajichora kama kumbukumbu kwa baba yake ambaye alifariki siku Depay anatimiza miaka 15. Baba yake alikua ni kama baba pia kwake na alihudhuria michezo yote Depay aliyocheza mpaka umauti ulipomfika.
5)Anafananishwa na Cristiano Ronaldo
Mchezaji wa zamani wa Man u ,Scout amemfananisha ujio wake kama Ronaldo mwingine tena Man u
"Ana ujuzi kama ulu ule wa Ronaldo alipokua kinda. Ana mbinu hatari, mjuzi, yuko chap, ana rekodi nzuri ya ufungaji, anaweza kupiga shuti umbali wowote-ana kila kitu" alisema scout
Mambo matano usiyoyafahamu kuhusu mchezaji mpya wa man u, Memphis Depay
Reviewed by Steve
on
Monday, May 11, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Monday, May 11, 2015
Rating:




No comments:
Post a Comment