Bayern wanamfukuzia Di maria?
Bayern Munich wa ujerumani wameripotiwa kumfukuzia Di Maria.
Muarjentina huyo aliyejiunga na mashetani wekundu kwa dau la Pauni 59.7 mil hata ivyo ameshindwa
kufikia matarajio ya wengi pale Old trafford
Bayern wanataka kutoa ofa ya pauni mil 30 kwa mashetani hao wa Manchester, Je watafanikiwa?? Yetu macho.
Muarjentina huyo aliyejiunga na mashetani wekundu kwa dau la Pauni 59.7 mil hata ivyo ameshindwa
kufikia matarajio ya wengi pale Old trafford
![]() |
| Di maria |
Bayern wanataka kutoa ofa ya pauni mil 30 kwa mashetani hao wa Manchester, Je watafanikiwa?? Yetu macho.
Bayern wanamfukuzia Di maria?
Reviewed by Steve
on
Saturday, May 09, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Saturday, May 09, 2015
Rating:




No comments:
Post a Comment