Propellerads

Ulimsikia Kaka kuhusu wacheaji anao wakubali EPL!!

Mchezaji huyo aliyejiunga MLS franchise Orlando akitokea Ac Milan mwaka jana amefunguka alipofanya mahojiano na gazeti la Sky sports wachezaji watano anaowakubali zaidi EPL ambao karibia wote
ni wabrazili,

Kaka

"Napenda kumwangalia Oscar ,Willian, Felipe Luis na Phillipe Coutinho" Alisema Kaka
Pia aliendelea "Tunaangalia mechi kubwa na kupendelea wao zaidi"
Mchezaji pekee ambae si mbrazili ambae Kaka anamkubali ni mu-Arsenali Mesut Ozil ambae waliwahi kucheza wote Real Madrid

Ozil

"Ni mchezaji mzuri"
"Yuko smart, muelewa , ulikua wakati mzuri tukicheza,tulielewana' Alimaliza Kaka.
Ulimsikia Kaka kuhusu wacheaji anao wakubali EPL!! Ulimsikia Kaka kuhusu wacheaji anao wakubali EPL!! Reviewed by Steve on Saturday, May 09, 2015 Rating: 5

No comments:

Propellerads
Powered by Blogger.