Propellerads

Stori kutoka magazeti ya Ulaya jumatau hii



-Joe Hart kukalia benchi hata kama Pep Guardiola kipanga kikosi tena kwenye
mechi ya marudiano ya Champions League.
-Arsenal wamesema kua Shkodran Mustafi atagharimu kiasi cha pauni mil 50.
-Bosi wa Liverpool, Jurgen Klopp amesema hata paniki katika manunuzi lakini ni lazima aimarishe kikosi chake.
-Nyota anayewindwa na Chelsea na Arsenal, James Rodriguez anajipanga kuendelea tena kukaa klabuni |Real Madrid.
-Inter Milan wako mbioni kukamilisha usajili wa kiungo wa Newcastle, Moussa Sissoko.
-Chelsea wanajiandaa kumsajili mlinda mlango wa Dinamo Zagreb
Stori kutoka magazeti ya Ulaya jumatau hii Stori kutoka magazeti ya Ulaya jumatau hii Reviewed by Steve on Monday, August 22, 2016 Rating: 5

No comments:

Propellerads
Powered by Blogger.