Taarifa mpya kutoka kwa Benitez kuhusu Benzema
Kocha wa Real Madrid, Rafael Benitez amesema kua nyota Karim Benzema
hatoondoka kuondoka klabuni hapo.
Ripoti za sasa zinadai kua Arsenal wamemuandalia dau la pauni 46mil, lakini Benitez amesema Benzema hana sababu ya kumfanya aondoke.
"Atakaa na sisi, sioni sababu ya kumfanya aondoke" Aliwaambia waandishi Jumatatu hii " Tuna furaha nae"
Benzema amefunga magoli 133 katika mechi 281 alizocheza Los Blancos tangu awasili mwaka 2009, lakini kwa sasa anahusishwa sana kujiunga Arsenal
Taarifa mpya kutoka kwa Benitez kuhusu Benzema
Reviewed by Steve
on
Monday, August 03, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Monday, August 03, 2015
Rating:

No comments:
Post a Comment