Soma alichokisema kocha mpya Simba.
Kerr raia wa Uingereza amesema atafanya kila linalowezekana kuhakikisha kikosi chake kinakuwa bora lakini lazima apewe muda.
“Kazi ya ukocha kawaida inahitaji muda, inahitaji uone, utafakari na kuchukua uamuzi.
“Hivyo suala la muda halikwepeki ingawa katika soka mambo huenda taratibu,” alisema.
Kerr ametua nchini jana na tayari yuko katika hatua za mwisho kuanza mikakati ya kuanza kazi.
Soma alichokisema kocha mpya Simba.
Reviewed by Steve
on
Sunday, June 28, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Sunday, June 28, 2015
Rating:
