Propellerads

Benitez kocha mpya Real Madrid





Rafael Benitz, yule kocha aliyeipa Liverpool ubingwa wa Ulaya, ametua Real Madrid, sasa ndiye kocha mkuu kwa kuwa anachukua nafasi ya Carlo Ancelotti.

Benitez aliwahi kuwa kocha wa timu ya vijana ya Madrid, sasa amerejea kama kocha wa timu kubwa na kusaini mkataba ambao utamuwezesha kuingoza klabu hiyo inayotaka kombe kila mwaka.



Benitez kocha mpya Real Madrid Benitez kocha mpya Real Madrid Reviewed by Steve on Wednesday, June 03, 2015 Rating: 5
Propellerads
Powered by Blogger.