Yanga wamnasa mwingine kutoka KMKM, ni katika kuongeza nguvu ya ushambuliaji
Yanga imezidi kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji baada ya kumnasa
Matheo Anthony.
Yanga walivyoitungua Kimondo FC jana
Huyu ni yule mshambuliaji hatari wa KMKM ya Zanzibar aliyeifunga Yanga kwenye Kagame Cup.
Lakini akapiga bao mbili wakati Simba ilipoifunga KMKM kwa mabao 3-2 katika mechi ya kirafiki mjini Zanzibar.
Matheo amesaini mkataba wa miaka miwili mbele ya Katibu Mkuu wa Yanga, Dk Jonas Tiboroha kuichezea Yanga.
Yanga wamnasa mwingine kutoka KMKM, ni katika kuongeza nguvu ya ushambuliaji
Reviewed by Steve
on
Monday, August 10, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Monday, August 10, 2015
Rating:




No comments:
Post a Comment