Propellerads

Neymar ataja nyota watatu ambao angependa kucheza nao kikosi kimoja




Nyota wa FC Barcelona, Neymar ametaja nyota watatu ambao angependa kucheza
nao kikosi kimoja, huku miongoni mwao wakiwemo wakongwe wawili wa Real Madrid.

Nyota huyo aliwataja wachezaji hao baada ya kuulizwa wakati akifanya mahojiano na FIFA TV

"Mimi ni mshabiki mkubwa wa Romario, ni mchezaji ambaye napenda ningeweza kucheza nae" alisema Neymar

"Pia Zidane. Ronaldo nilicheza nae katika mechi yake ya mwisho na Brazili, lakini napenda ningeweza kucheza nae zaidi.

"Hao ndio wachezaji ambao ningependa kucheza nao kikosi kimoja" alimaliza.
Neymar ataja nyota watatu ambao angependa kucheza nao kikosi kimoja Neymar ataja nyota watatu ambao angependa kucheza nao kikosi kimoja Reviewed by Steve on Sunday, August 16, 2015 Rating: 5

No comments:

Propellerads
Powered by Blogger.