Propellerads

Kaseja atua Mbeya City, ajifunga kwa miezi kadhaa



Kipa Juma Kaseja amesaini mkataba wa
miezi sita kuitumikia Mbeya City.

Kaseja amesaini mkataba huo leo rasmi mbele ya meneja wake mpya, Athumani Tippo pamoja uongozi wa Mbeya City.

Shughuli hiyo ya kusaini imefanyika jijini Dar es Salaam jana.

Kaseja anajiunga na Mbeya City baada ya kuwa ameitumikia Yanga ambayo hata hivyo hawakuwezana mwishoni.
Kaseja atua Mbeya City, ajifunga kwa miezi kadhaa Kaseja atua Mbeya City, ajifunga kwa miezi kadhaa Reviewed by Steve on Thursday, August 20, 2015 Rating: 5

No comments:

Propellerads
Powered by Blogger.