Propellerads

Taswira katika picha jinsi Man United ilivyoiua San Jose Earthquakes


Manchester United imeshinda kwa mabao 3-1 katika mechi yake ya kirafiki dhidi ya
San Jose Earthquakes ya nchini Marekani.
Kiungo wake mpya, Memphis Depay amekuwa kati ya waliofunga mabao huku Wahispania Juan Mata na Herreira kila mmoja akitupia bao. Hapa nimekuwekea baadhi ya picha katika hiyo game














Taswira katika picha jinsi Man United ilivyoiua San Jose Earthquakes Taswira katika picha jinsi Man United ilivyoiua San Jose Earthquakes Reviewed by Steve on Wednesday, July 22, 2015 Rating: 5

No comments:

Propellerads
Powered by Blogger.