Manchester United warudi Klabu bingwa ulaya.
Timu ya
mancheser united imerejea tena kwenye michuano ya Klabu Bingwa ulaya
baada ya Timu za Liverpool na Chelsea kutoka sare ya bao 1-1 katika
mchezo wa ligi kuu ya uingereza uliopigwa jioni ya leo kwenye Dimba la
Stamford Bridge.
Mabao ya timu hizo yalifungwa na manahodha John Terry wa Chelsea na Steven Gerald wa Liverpool.
Kwa matokeo hayo Liverpool imefikisha pointi 62 pointi 6 nyuma ya United huku United wakiwa na tofauti kubwa ya magoli ukilinganisha na Liverpool.
Mabao ya timu hizo yalifungwa na manahodha John Terry wa Chelsea na Steven Gerald wa Liverpool.
Kwa matokeo hayo Liverpool imefikisha pointi 62 pointi 6 nyuma ya United huku United wakiwa na tofauti kubwa ya magoli ukilinganisha na Liverpool.
Manchester United warudi Klabu bingwa ulaya.
Reviewed by Steve
on
Monday, May 11, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Monday, May 11, 2015
Rating:




No comments:
Post a Comment