Top 20 ya vikosi ghali zaidi Ulaya imetangazwa
Real Madrid ndio kikosi ghali zaidi Ulaya, huku vilabu vingine
vilivyosalia ndani ya top 20 asilimia kubwa vikiwa ni vya Premier League.
Los Blancos wametumia €587 million kukiunda kikosi chao cha sasa, huku Man City wakifatia katika nafasi ya pili wakitumia €560 million.
Mahasimu wa City, Man United wako nafasi ya tatu wakiwa wametumia €533 million juu ya PSG ambao wametumia €525 million.
Hapa chini ni orodha ya vilabu 20 ghali zaidi Ulaya kama ilivyotolewa na CIES
1) Real Madrid – €587 million
2) Man City – €560 million
3) Man Utd – €533 million
4) PSG – €525 million
5) Chelsea – €407 million
6) Barcelona – €394 million
7) Liverpool – €344 million
8) Bayern Munich – €337 million
9) Arsenal – €305 million
10) Juventus – €301 million
11) Tottenham – €231 million
12) Valencia – €226 million
13) Inter Milan – €212 million
14) Napoli – €185 million
15) Southampton – €182 million
16) Atletico Madrid – €180 million
17) Wolfsburg – €163 million
18) Roma – €160 million
19) Newcastle – €157 million
Ungana nasi kupitia Facebook kwa ku like ukurasa wetu wa Kandanda 24 na Twitter @Kandanda 24
20) Monaco – €150 million
Top 20 ya vikosi ghali zaidi Ulaya imetangazwa
Reviewed by Steve
on
Saturday, September 05, 2015
Rating:
Reviewed by Steve
on
Saturday, September 05, 2015
Rating:

No comments:
Post a Comment