Yanga jana wamefanikiwa kusonga mbele katika michuano ya Kagame baada ya kushinda kwa ushindi wa goli moja dhidi ya Al Khartoum ,kama kwaida nimekuwekea picha mbali mbali jinsi game ilivyokua Katika game nyingine, Gor Mahia imeinyuka Djibouti magoli 3-1
No comments:
Post a Comment