Propellerads

Simba nao wamsainisha kiungo huyu


                                              

Kiungo wa Mbeya City, Peter Mwalyanzi amejiunga na Simba ya Dar es Salaam.



Mwalyanzi amesaini mkataba wa miaka
miwili kuichezea Simba leo jijini Dar.

MWalyanzi amesaini mkataba huo mbele ya Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe, makamu wake Kassim Dewji na mjumbe Collins Frisch.



Simba imefanikiwa kumsainisha Mwalyanzi huku Yanga ikiwa imemchukua kiungo mwingine wa Mbeya City, Deus Kaseke.
Simba nao wamsainisha kiungo huyu Simba nao wamsainisha kiungo huyu Reviewed by Steve on Monday, May 25, 2015 Rating: 5
Propellerads
Powered by Blogger.